Jinsi ya kujisajili kwa SHA kupitia tovuti ya Afya Yangu
Fuata mwongozo huu wa kina ili kukamilisha usajili wako. Kujisajili kwa SHA kupitia Tovuti ya Afya Yangu tunakupa fursa ya kupata bima ya afya ya umma pamoja na huduma nyingine za Mamlaka ya Afya ya Kijamii (SHA). Fuata mwongozo huu wa kina ili kufanikisha usajili wako. Mwongozo wa usajili - Hatua kwa hatua: Dirisha ibukizi litaonekana likiwa na ujumbe: “JISAJILI kwa Huduma ya Afya kwa Wote (UHC) na SHA kupitia Afya Yangu.” Endelea na usajili Bonyeza ENDELEA NA USAJILI. Weka picha yako Fafanua hali ya kazi Chagua mojawapo ya chaguzi zifuatazo: …
Half of Kenya’s university students are battling mental health disorders, landmark study finds
Eating disorders, comprising binge eating, purging behaviours and bulimia, are the largest single…
Why Ebola survivors must wait six months before having intimate relations
Ebola can survive more than half a year in a clinically healthy…
Beyond cigarettes: Why Kenya can’t agree on vapes, pouches & smokeless options
Smoking kills around 12,000 Kenyans annually, and 2.3 million more remain hooked. Vapes and…
Hatua kwa hatua: Jinsi ya kulipa SHA
Kwa watu wanaojiajiri, unaweza kulipa kupitia pesa kwenye simu, kuwasilisha kutoka kwa benki hadi bendi, au vituo vya malipo vilivyoidhinishwa. Malipo ya mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) ni sehemu ya juhudi za serikali kuhakikisha upatikanaji wa Huduma ya Afya kwa Wote (UHC) kwa Wakenya wote. Malipo ya SHA na taratibu za malipo hutegemea kama wewe ni mwajiriwa au unajiajiri. Ili kutoa malipo yako ya SHA, unaweza kutumia njia zifuatazo: 1. Malipo kupitia mwajiri: Hii inawahusu watu walioajiriwa rasmi. Mwajiri wako atakata malipo yako ya SHA moja kwa moja kutoka kwenye mshahara wako na kuuwasilisha kwa SHA. Hii ni sawa na makato mengine ya kisheria kama malipo ya uzeeni ya NSSF. 2. Malipo kwa watu wanaojiajiri: Unaweza kujisajili na kulipa kwa hiari. Malipo yanaweza kufanywa kwa kutumia M-Pesa au majukwaa mengine ya pesa za simu, hamisho la pesa kwa benki, au vituo vya malipo vilivyoidhinishwa. Huenda ukahitaji kuingia kwenye tovuti ya SHA au kutembelea kituo cha huduma kama Huduma Centre, vituo vya SHA, au vituo vilivyowekwa hospitali kwa ajili ya kujisajili na kupata maelezo ya malipo yako. Kwa watu wanaojiajiri, SHA hutumia mfumo wa kupima uwezo wa kipato (Means…
From farm to pharmacy: How Kenya is fighting drug-resistant germs with empty pockets
Farmers mix antibiotics into chicken feed to prevent disease, but consumers end…
Jinsi ya kuongeza wanaokutegemea kwenye SHA
Mwongozo huu unakuonyesha kila hatua hadi kufanikiwa kuongeza na kuthibitisha wanaokutegemea ili wapendwa wako wapate huduma za afya bila usumbufu. Unaweza kuongeza: Mtoto uliyemzaa, mtoto wa kupangwa (adopted child), na watoto walio chini ya ulezi wako. Kuongeza wanaokutegemea kwenye maelezo yako ya Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) ni muhimu ili kuhakikisha familia yako na/au wengine wanaokutegemea wanapata huduma muhimu za afya chini ya bima yako. Mchakato huu umeundwa kuwa rahisi kwa mtumizi, na unakuwezesha kuweka na kusimamia taarifa za wanaokutegemea mtandaoni. Mwongozo huu unakuonyesha kila hatua, kuanzia kuingia kwenye maelezo yako ya SHA hadi kufanikiwa kuongeza na kuthibitisha wanaokutegemea, ili wewe na wapendwa wako mpate huduma za afya bila usumbufu. Hatua ya 1: Fungua maelezo yako ya SHA Tembelea tovuti rasmi ya SHA: https://sha.go.ke/ Ingia kwenye akaunti yako kwa kutumia nambari yako ya Kitambulisho cha Taifa (ID) na nenosiri. Hatua ya 2: Nenda kwenye sehemu ya wanaokutegemea …
Grabbed, stalled, forgotten: How Nairobi is losing its crucial clinics
From Parklands to Lucky Summer to Pumwani, the story is the same:…
No margin for error: Why Happy Shower is not a joke at Ebola simulation centre
Inside the Nairobi simulation centre, the drills are running, chlorine is ready,…








